klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
hehehe tuonane kesho mkuu. hakikisha laptopu unaijaza chaji. hatutaki excuses.haya wakuu mie nachomoka tutakutana kesho hapo city soccer mda kama huu wa hollad watakuwa wamejishika mikono kusubiri kushangilia ubingwa wao.
na octopus anapigwa mnada siku hio hio kwa kufanya utabiri mbovu kwenye mechi muhimu lol.
