Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Costa Rica wanacheza mpira wa usongo zaidi Uruguay wanacheza soka ya mbinu lakini hawajiamini baada ya kustukizwa goli tatu.Uruguay wanapaswa watulie na kuclose game hii ni rahisi,kuna watu wachache tu wa kuwazika kama Campbell,wakifanikiwa mtashangaa kitakachotokea.hawa Costa Rica wakikutana na timu iliyotulia na kumaintain mpira wake,wanapigwa kama watoto.ni kelele tu za mashabiki wake wengi hapa Brazil na mzuka wa mechi ya kwanza.hii mechi yao ya mwisho kutamba.hawatafurukuta kwa muingereza wala mtaliano..pamoja na goli zao 3 za kustukiza.
wasafirie nyota ya 2010 nini..Kwa spain hakijaharibika kitu, kwa jinsi nilivyoutazama mchezo wao wote na holland, naamini spain bado ni wakali na watashinda mechi mbili zinazokuja na watafika mbali.
Ndoto za Alinacha hizo. Costa rica wanapiga mbungi ya ukwel siyo mimbwa hiyo uruguay
RED card kwa Pereira
Ngoja nikariri hii ID yako,usije ukakana tu!@mabesela
Safi maana walidhani kila mwaka watapeta kwa janja janja