World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Costa Rica wanacheza mpira wa usongo zaidi Uruguay wanacheza soka ya mbinu lakini hawajiamini baada ya kustukizwa goli tatu.Uruguay wanapaswa watulie na kuclose game hii ni rahisi,kuna watu wachache tu wa kuwazika kama Campbell,wakifanikiwa mtashangaa kitakachotokea.hawa Costa Rica wakikutana na timu iliyotulia na kumaintain mpira wake,wanapigwa kama watoto.ni kelele tu za mashabiki wake wengi hapa Brazil na mzuka wa mechi ya kwanza.hii mechi yao ya mwisho kutamba.hawatafurukuta kwa muingereza wala mtaliano..pamoja na goli zao 3 za kustukiza.
 
Yupo Arsenal ya Wenger toka mwaka juzi,huwa anampeleka kwa mkopo Panathainakos ya Ugiriki!Nashangaa unamtoa Campbell kwa mkopo unamuacha Sanogo ahahahaha
Mkuu,

Dogo anachezea kwa mkopo Olympiacos umechanganya kidogo.
 
Dah hii game safi sana, inavutia kuitazama

Nadhani hii ndo top game so far kati ya zote za World Cup hii. Ebana dogo wetu ni mfungaji vile vile anajua kutoa vyumba, Mwaka ujao ni wetu. Honestly, Uruguay wamemmiss Suarez nadhani jamaa angekuwa full fit hii mechi ingekuwa tofauti sana.
 
Halihitaji muujiza hilo jumatano tutakuwepo hapa trust me watu hawataamini. Mkuu spain sio taifa stars

keep our fingers crossed... lazima wakaipangue hii aibu. kwa nilivyoona chile haikuwa big deal so wakijipanga wanapangua hali ya hewa
 
wewe mimi mpira ndio starehe yangu. ninapoangalizia mwanamke ni mimi peke yangu hehehe mwaka huu nyota si njema sana kwangu kwani spain ilishaniharibia, nasubiri argentina, german na england (ofcourse team za africa ni automatic)

Kwa spain hakijaharibika kitu, kwa jinsi nilivyoutazama mchezo wao wote na holland, naamini spain bado ni wakali na watashinda mechi mbili zinazokuja na watafika mbali.
 
Naona 'goalkeeper' Suarez hana hamu ... anatamani angeingia angalau asaidie kudaka
 
Back
Top Bottom