World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

wachezaji wa ujerumani leo waliulizwa nini matarajio yenu wakasema hatukuja kushiriki haya mashindano bali kuchukua kombe
 
Kumbe Brasil wachezaji ni wawili tu SILVIA na NÉEMA


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Hii inathibitisha kwamba kumbe USA, Algeria & Ghana ni timu nzuri. Waliwadhibiti vilivyo hawa wataalamu...

Yaan acha tu, mimi nasema kila siku humu Africa tuko vizuri ni vijimambo tu vinatukwamisha
 
Reactions: BAK
unajua kuna ile baadhi ya timu walivyotolewa wanarudi home watu mnakuwa proud kwamba hawa watu wamefight Sana ila haikuwa bahati lakin kwa Brazil ni habari nyingine.

Dada hii ya leo ni aibu saba naona wametimiza wiki kabisa
 
Kabisa dear magoli 6, Brazil ipo kama imesimama. Hawa walienda kutambika na kwenye kaburi la babu yao H.

Bantu lady, njoo nikupunguzie majonzi... Shula atakuwa alisikia nilichosema kashafunga magoli mawili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…