mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,322
- 1,110
hukuangalia match ya Saudia Arabia vs German ,world cup ya 2002 iliyofanyika Japan na Souh korea?Tokea nianze kuangalia kombe la dunia mwaka 1998,sijawahi ona timu inafungwa mabao 7
Brazil used all their energy on a national anthem
Pole Victoire, hakuna aliyetegemea hii mediocre performance toka kwa Brazil. Naomba tu huko Brazil wasiuane leo kwa matokeo haya.
Nimehamia rasmi Argentina sasa....
Messi legoooooooooooooooo
Nataka sana kombe libaki Americas
Nimehamia rasmi Argentina sasa....
Messi legoooooooooooooooo
Nataka sana kombe libaki Americas
Dah umenikumbusha mbali, Sweden Norway na nchi moja nimesahau jina...walikuwa na mipira enzi hizo!
Dah umenikumbusha mbali, Sweden Norway na nchi moja nimesahau jina...walikuwa na mipira enzi hizo!
Hautakuwa pekee yako nadhani mashabiki wengi wa #TeamBrazil hapa jamvini sasa watahamia #TeamArgentina.
Usiku mwema wadau,#teambrazil poleni sana tukubali tumeshindwa,Germany Hongereni sana hii history mliitamani sana kwa miaka mingi hatimaye leo imetimia kwa kishindo.
Nimekumiss sana. Upo kimya, nini ilikuwa shida?? Mbona ukimya mkuu?
We vipi? Mbona naona kama uko noncommittal?
Au Wajerumani wamekutisha?
Ujerumani hawakushinda hii mechi. Ni Brasil ndo wameshindwa!
Performance ya leo ni very un-Brasil-like!
Yaani timu iliyohangaishwa na Ghana, Marekani, na Algeria ndo iifunge Brasil mabao saba?
Brasil just didn't show up today.
haa haa waliimba as if hawataimba tena duniani
Nisome tena banaaa...#TeamArgentina kama kawa.