World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

4679c728-e782-462c-9be7-d50c4197dccf_500.jpg

Mkuu naona Brazil imevuviwa na malaika Meckel(angel Meckel) hapo dah!jf bhana.
 
Pole sana Bantu lady.

Historia mbili zimewekwa leo kwa Germany kufunga magoli ya haraka haraka hasa yale ya mwanzo 5 ndani ya dakika 18.
Na ya pili ni host kubugizwa magoli 7-1 aaaww historia mbaya sana hii, haikutakiwa kuwekwa kbs.

Mimi naomba niwaage rasmi humu, nimehuzunika sana timu yangu kuniumiza hivi.
Sitatokea tena basi, nawashukuru wote humu.
Kwaherini, kila la kheri kwa wale timu zao bado zipo, tutaonana kombe la dunia likiisha. Bye!!!
 
Last edited by a moderator:
Jamani mwenzenu nimejifunza kitu ,baraka za wananchi zinahusika sana katika kuleta mafanikio kwa nchi/taifa,mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,machozi ya wa watu wa Brazil kuhusiana na mishahara yao hayajaenda bure,Ufisadi una mwisho,lengo la viongoz wao lilikuwa zuri lakini wakasahau kuwekana sawa na wananchi wao ili jambo hili la kuandaa mashindano liwe baraka kwa nchi yao na hatimae ndoto zao zitimie,kweli chozi la mnyonge lina thaman kubwa kwa Mungu hii aibu haijawahi tokea.Scolar naye alifumbwa macho akachagua kikosi kibaya akasahau kuweka watu wazur. Chozi la mnyonge malipo kwa Mungu baba!!
 
Tokea nianze kuangalia kombe la dunia mwaka 1998,sijawahi ona timu inafungwa mabao 7

Sasa leo ndo umeona, Bingwa mara5, akichapwa na bingwa mara 3 kichapo cha mbwa mwizi! Spain bingwq mtetez alichapwa5-1, kwa hiyo lolote linaweza kutokea!
 
Back
Top Bottom