World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Scolari aliichagua team yake miaka 3 iliyopita na wala hakujali viwango vipya!Kocha ajaye amlete Miranda wa Atletico acheze na Silva na Fernandihno!Fukuza Dante na Paulihno lkn muache Luiz kama reserve

Dante na maicon ni wa kupelekwa mahakamani.dante tumbili kabisaa
 
Mwambie huyajui matokeo halafu uanze kuponda TeamBrazil kwamba si wazuri kiasi hicho hivyo hudhani kama walikuwa na team ya kuweza kuwafunga Wajerumani. Kama hutanii Mkuu inabidi hapa uwe extra careful ili kuhakikisha Baba hadhuriki. Kila la heri.

 
nilisema humu !
Brazili kimpira haifik fainali
ila kiftna itafika!
sasa wamefanya fitna weeeee kwa wier ist futbal wamechemsha!
Andybird231 sijui yu wapi yaillahi
 
Last edited by a moderator:
jana nilikuwa na kalkuleta na visoda pembeni ili nijumlishie magoli
 
lol!! Wameona wenyewe kandanda walilolicheza halikuwa la kutisha kiasi hicho, Algeria, Ghana au USA leo wangeweza kabisa kushinda....labda walitegemea Scolari awape majibu ya nini kilichojiri maana nao wamepigwa na bumbuwazi.

Nilimuona David Luiz akilia kwa uchungu baada ya mechi. Nikakumbuka nadhani 2002 Oliver Kahn Golikipa wa Ujeruman akilia kwa uchungu mara baada ya timu yake kula kichapo na Brasil mechi ya fainali. Ijapokuwa wamefungwa magoli mengi, sawa na kipigo cha mbwa mwizi, lakini ndo hivyo tena!
 
...Wanatamani wasogeze 2018 iwe mwaka kesho 🙂🙂 lakini ndiyo hivyo tena, sasa ni kutafakari kwa kina wapi walipokosea na kuanza upya kuisuka timu ya 2018.

 
Siikubali Brazil hii lkn Mkoloni HAWEZI hata kumsumbua Brazil sababu ya central back za Mkoloni ni wazito mno na kuumia kwa Mustafi ambaye ndiye mwenye kasi pale ni pengo sana kwao!!

Brazil atafungwa na Argentina fainali sio MKOLONI

You were saying?
 
Duwa la kuku wala mwewe hatikisiki, kuku akitowa shingo tu mwewe anaondoka nayo.

Brazil utaichukia lakin wanapiga soccer kwa kiwango tofauti kila uchapo kiwango chao kinapaa.

Ujanja ujanja una mwisho wake, mbeleko imechanwachanwa jana na machine ya Mkoloni.
Kiwango kinapaa my foot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…