mourihno na wengineo!Kosa lake Scolari kuchagua team kwa mazoea!!Why unamuacha beki Miranda kwenye team ya hovyo kama hii?Na hizo ndo sifa za "BINGWA"...angalia hata anapocheza ovyo bado anaibuka mshindi,ni kweli hakuna alietarajia goli hizi lkn mshindi alijulikana kabla ya mechi
Mkuu naongea hapa kila siku!!Huwezi chukua kombe la Dunia eti Neymar ndiyo striker wako tegemeo!Neymar enzi za Ronaldo na Rivaldo hata Brazil under 23 hachezi
Mkuu naongea hapa kila siku!!Huwezi chukua kombe la Dunia eti Neymar ndiyo striker wako tegemeo!Neymar enzi za Ronaldo na Rivaldo hata Brazil under 23 hachezi
Mie kuna mtu wangu ni mpenzi sana wa Brazil, basi mechi inaanza akanitumia text kufurahia game na kudai ushindi ni kama kawa nami nikafanya hivyo baada ya goli la tatu nikamtumia text kumwambia sielewi nini kinaendelea hakujibu, halftime nikamtumia text kimya nikaamua kumpigia simu kimya, hii si kawaida yake nikaanza kuingiwa na wasi wasi mpira ulivyoisha nikampigia simu kimya. Ndiyo nimempata sasa hivi anadai baada ya goli la nne akaamua kulala, kaamka kakuta text messages 200 zikimpa pole kwa kipigo, na missed calls 120. Nafurahi kwamba yuko poa kabisa.
Ukimuacha Thiago Silva, hakuna mchezaji wa Brazil angeitwa hata kwenye kikosi cha majaribio cha Brazil ya 1994 au 1998. Hivyo ndivyo soka la Brazil lilivyoporomoka na pamoja na ukongwe na uzoefu wake, Scolari ameshindwa kabisa kulihandle swala la Neymar, tena nashangaa hajabwaga manyanga mpaka sasa
mourihno na wengineo!Kosa lake Scolari kuchagua team kwa mazoea!!Why unamuacha beki Miranda kwenye team ya hovyo kama hii?
Pato Alexandre alistahili awemo na awe anaanza pia kipa huyu hana hata team na hajacheza mechi yyt kubwa kwa mwaka na nusu
Hapo kwa Miranda kwa kweli binafsi nilisikitika, ndio maana kina Costa wanaamua kuchezea nchi za watu. Miranda, Fillipe Luiz sio watu wakukaa bench. Na Lucas Moura je, utamfananisha na winga gani ya Brazil?
DEMBA everlenk ; Heaven on Earth na Victoire fainali Jumapili tunaiangalia wapi?Nipeni mwongozo niwaibukieDuh!! Acha ile ndoto ya jana ilikuwa mbaya sana,jamani mi sijapata usingizi kabisa nikifumba jicho tu naona beki za brazil zikapotea halafu inakuwa goli,jamani acheni tu!!!!
kama una nguvu zakutosha kuvumilia maumivu shabikia argentina.Wakubwa,team German baada ya jana kufurahiya Leo mnashauri tuingie team gani? Enh
wamemuacha jembe CountinhoYaani mtu alikuwa anachezea QPR ikashuka daraja ndio anadakia Timu Ya Taifa. Mazoea ni mabaya sana, basi yeye alijijengea sifa kwenye penalties
Mkoloni alicheza vyema mechi ya kwanza na Ureno;akazimika kabisa na Ghana akawa wa kawaida tu na USA!
Akazidiwa na Algeria then akacheza hovyo na France!Hata ww hukutarajia bao 7 hizi;tuwe wakweli jamani
wamemuacha jembe Countinho
Mimi naangalizia home kwangu tu,huko nje usalama mdogo,ila uzuri fainali itakuwa mapemaDEMBA everlenk ; Heaven on Earth na Victoire fainali Jumapili tunaiangalia wapi?Nipeni mwongozo niwaibukie
DEMBA everlenk ; Heaven on Earth na Victoire fainali Jumapili tunaiangalia wapi?Nipeni mwongozo niwaibukie
Fainali bila ya Brazil au Argentina mimi hutaniona kwa kweli!!!
Neymar is overrated anyway and Luiz is not worthy £50m