ndupa
JF-Expert Member
- Jan 25, 2008
- 4,403
- 148
Martins Indi kaumia?
no...naona mwalimu kaona at any time anaweza zawadiwa red card!! na ujue kashapewa njano tiari...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Martins Indi kaumia?
Game inachezwa kisayansi mno hii.
View attachment 169935hii mni balaa
Kila wakati lavezzi akiwa na mpira nakuwa uncomfortable kabisa!
Kila wakati lavezzi akiwa na mpira nakuwa uncomfortable kabisa!
Wakubwa mpooo mbona Kimyaaa?
Nikiwa kama Refa wa kujitolea humu na kwa niaba ya wanasport wote humu, ndugu Katavi popote pale ulipo tunakuomba sana tena sana USITAJE timu unayoishabikia,wewe umekuwa ni zaidi ya Mtabiri humu,hatukunyanyapai ila tunakupenda sana.
cc MEANDU BAK Malafyale Bantu lady, Victoire, Heaven on Earth, Bulldog, @BWAN'CHUCHU, adolay, s.crony mournho Skype DEMBA na wengine wote.
tupo Jana tulizoea kuona magoal yanaingia sa hivi hii tunaona ka haina mzuka kivileee
Naona kaamua kumrithi mourinho tutegemee hivi EPL
Sao Paul Leo pamenuka aisee.
Nilisinzia kidogo leo niko choka mbaya na hivi ndo goli hamna acha tu.kalale wangu kesho utapata shida kazin,