Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Tatizi Argentina hawana kasi!
Kwahiyo Mpira Wa Magerumani hawatoiweza!
mascherano sasa hivi ndio kawatoa van Parsie na Robben mifukoni mwake Kampa LVG chukuwa wanao.Ehehehe inabidi sasa nilale kwa kweli mechoka sana lol!
Kombe haliondoki kusini
Jamani hii ni mbinu mpya kwahiyo tunaifanyia majaribio,maswali zaidi muulize Malafyale.
ushawahi kupewa uziminye?
Usiku mwema na fainali njema wakuu,WC nzuri sana hii.congratulations Argentina na Germany Mourinho mie narudi kijijini kwetu kule Turin na Milan.world cup imekuwa chungu kweli kwangu,sina apetite na timu hata moja fainali.
Nilisema Kombe lazima libaki Amerika ya Kusini..
Kombe anachukua Argentina......Naaapa
mechi ya mshindi wa tatu nayo tamu..brazili aki collapse tena kazi kwake...lol
Umeonaee?!
Wale madogo wanachukia argentina ile mbaya!
Utamu ni kwamba tunalichukua pale pale kwao!
argentina wangeiga mfano wa jirani zao wala hawakutuchelewesha kulala
Kombe anachukua Argentina......Naaapa