World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Vipi Webb atachezesha fainal,naona mu Algeria wetu anachezesha hii ya Brazil vs Holland
 
Scolari ndo anakumbuka leo kutomchezesha Fred,aisee ngoja tuone
 
Mshangao sawa, lakini wa aina gani? Positive or negative?

Inategemea....maana kama wakiingia overconfident wakitegemea watapata ushindi wa ajabu kama walioupata siku ile inaweza ikala kwao...

Unatia moyo au unakatisha tamaa...hiyo ndiyo tofauti kati ya Germany na Brazil!

Of course ushindi wa Ujerumani haukatishi tamaa ila unaweza ukawafanya wawe complacent na overconfident....
 

Mkuu hawa Brazil wameshakariri ushindi wao upo chini ya Neymar. Na leo Neymar hayopo! Sijui itakuaje hapo! What do you think?
 
Mkuu hawa Brazil wameshakariri ushindi wao upo chini ya Neymar. Na leo Neymar hayopo! Sijui itakuaje hapo! What do you think?

Hata wakishindwa itakuwa si kwa goli saba na hawatapigwa goli nne ndani ya dakika sita!

Nani huwa anapigwa goli nne ndani ya dakika sita?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…