palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,459
Welp! Walau leo wamejitahidi kufungwa 2-0.
nikalale tu hakuna jipya najilaumu why did I wake up ningeendelea na usingizi wangu.
hongera Netherland ....
Brazil niko disappointed nao.
Khe khe khe goli 10 katika mechi mbili, timu iliyofungwa magoli mengi kuliko timu yoyote ile katika mashindano haya ya 2014. Na si ajabu tukiangalia 2010, 2006, 2002, 1998 labda hakuna timu iliyochabangwa goli nyingi kama Brazil. Kwa rekodi hii Babu Scolari bado anataka kuendelea kuwa kocha!?
Brazil MDEBWEDO kwa kweli!