World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Tukipata hela toka Barca tuingie sokoni tumchukue Thomas Muller acheze na Sturrigde pale mbele.Mwa huu tunachukua ubingwa mechi 5 kabla ligi haijaisha!!
Team sterling
 
Last edited by a moderator:
Tukipata hela toka Barca tuingie sokoni tumchukue Thomas Muller acheze na Sturrigde pale mbele.Mwa huu tunachukua ubingwa mechi 5 kabla ligi haijaisha!!
Team sterling

eti "tukipata hela" teh teh we uko tandale huko,liver anakujua nani?
 
Last edited by a moderator:
Argentina leo anachukua mara ya 3 ubingwa kuweka historia ingine ya soka la Dunia hii
 
Nuksi kweli kweli mkuu!
Sielewi kwanini hawa Team Brazil hawataki kusahihisha makosa yao lukuki ktk soka! Moja ya tatizo ni pale wanapotumia a lot of energy ktk kuimba wimbo wao wa Taifa. Hata jana dunia ilishuhudia wakiimba National Anthem yao kwa nguvu sana, kitu kinachosababisha kabla ya kuanza mechi uwanjani wakiwa wamechoka tayari.

kuna watu wanavituko dunia hii.....u made my day.
 
Nuksi kweli kweli mkuu!
Sielewi kwanini hawa Team Brazil hawataki kusahihisha makosa yao lukuki ktk soka! Moja ya tatizo ni pale wanapotumia a lot of energy ktk kuimba wimbo wao wa Taifa. Hata jana dunia ilishuhudia wakiimba National Anthem yao kwa nguvu sana, kitu kinachosababisha kabla ya kuanza mechi uwanjani wakiwa wamechoka tayari.

Walitaka kuonyesha uzalendo wao baada ya kulitia taifa aibu ya karne!
 
Argentina leo anachukua mara ya 3 ubingwa kuweka historia ingine ya soka la Dunia hii

ishi kwa ndoto leo utamtambua Kroos
article-2690161-1F920CE700000578-16_306x423.jpg
 
yeah andate!ila leo tutawapiga 5-0 wasichekane na jirani yao Brazil

Spain alimfunga Germany mwaka 2010 kule kwa Madiba!Je ina maana wangerudiana leo Germany angefungwa?
Historia HAINA nafasi kwenye soka!Messi kawa mature hawaachi leo
 
Back
Top Bottom