Tukipata hela toka Barca tuingie sokoni tumchukue Thomas Muller acheze na Sturrigde pale mbele.Mwa huu tunachukua ubingwa mechi 5 kabla ligi haijaisha!!
Team sterling
Leo nimeenda kanisani kumtakia mafanikio mtakatifu Messi
eti "tukipata hela" teh teh we uko tandale huko,liver anakujua nani?
Hahahaaaa na ni uchokozi haswa.10 mechi mbili ukitafuta avarage unapata 5 hata stars hawafungwi hivyo bora nihamie huko.#xteambrasil #teamstars#
Sio ugomvi lakini kiroho safi tu...It does not matter nipo wapi na haijalishi hata kama sichangii lolote lkn KOPS ndiyo team yangu!!
umejiombea na ww mungu akupe nguvu na ujasiri wa kupokea kipigo chochote toka kwa Mkoloni?
Sio ugomvi lakini kiroho safi tu...
Nuksi kweli kweli mkuu!
Sielewi kwanini hawa Team Brazil hawataki kusahihisha makosa yao lukuki ktk soka! Moja ya tatizo ni pale wanapotumia a lot of energy ktk kuimba wimbo wao wa Taifa. Hata jana dunia ilishuhudia wakiimba National Anthem yao kwa nguvu sana, kitu kinachosababisha kabla ya kuanza mechi uwanjani wakiwa wamechoka tayari.
Nuksi kweli kweli mkuu!
Sielewi kwanini hawa Team Brazil hawataki kusahihisha makosa yao lukuki ktk soka! Moja ya tatizo ni pale wanapotumia a lot of energy ktk kuimba wimbo wao wa Taifa. Hata jana dunia ilishuhudia wakiimba National Anthem yao kwa nguvu sana, kitu kinachosababisha kabla ya kuanza mechi uwanjani wakiwa wamechoka tayari.
Argentina leo anachukua mara ya 3 ubingwa kuweka historia ingine ya soka la Dunia hii
Messi leo watamzomea sana lkn atawanyamazisha
fainali hii ni marudio ya hii mechi hapa
Germany vs Argentina 2010 FIFA World Cup highlights 4-0 - YouTube
yeah andate!ila leo tutawapiga 5-0 wasichekane na jirani yao Brazil
Tutashangilia vipi ushindi wetu hiyo kesho Mrembo by Nature?
Naomba uje tuangalizie hili tukio kwangu ili tuweze kushangilia ushindi vizuri after mechi...au waonaje? Kwa Argentina tu lakini