Mimi kwa kweli napata shida kidogo kwa wale wanaosema Argentina chini ya Messi wakishinda kombe la dunia, basi Messi atakuwa mchezaji bora aliyewahi kutokea duniani!!
Kweli?!? Yaani atawazidi Pele na Maradona kwa kushinda kombe hili? Ebu tuwe wakweli katika nafsi zetu..Pele na Maradona wapo level nyingine kabisa, ambayo Messi hawezi kuifikia kwa kushinda kombe hili la dunia.
Messi akishinda kombe hili, atakuwa katika level za akina Zidane, Dinho na de Lima tu. Sijui kuna nini katika mitazamo ya watu juu ya Messi!
Anyway, ngoja tusubiri fainali...