World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Toka walipowadhalilisha Brazili, nilijua hawa jamaa ndiyo mabingwa hata kama kweli sikuwapenda!
 
Dah haya bana ni ngumu sana ila ndio hivyo Brazil angekuwa anachukua hili kombe leo kama wasingefanya ule ujinga wa wiki iliyopita.
Nawapa hongera hawa wauaji ila roho inaniuma sana. Ningekuwa mchezaji wa Brazil sijui kama ningeishi
 
All the best ma team

Better is not good enough best is yet to come
 
Angalau tumekuja kuona goli la kweli...lililofungwa uwanjani na siyo jamvini. Hongereni Germany, mimi ni shabiki wa timu inayofunga siyo inayofungwa. Usiku mwema.

Karibu tena
 
Waache wa Argentina walie dah, kutoka kote walikotoka, kufika mwisho kombe linaenda kwingine. Buenas nochos.
 
Haya world cup imeisha turudi kwenye mambo ya katiba na ukawa sasa
 
Messi bado sana...na atasubiri sana..

Messi ni mchezaji mzuri lakini sio kama wanavyomsifia. My opinion namweka juu ya Ronaldinho ingawaje wana JamiiForums wengi wanadhani Ronaldinho ni bora.
 
Reactions: Nzi
Hongera Ujerumani kwa kushinda Kombe la Dunia Brazil 2014 mlistahili kabisa!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…