World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Hivi ndio kweli sina mwenzangu leo isijekua mmehamia ujeruman kwa kuwa wameshinda waoneee
 
Hairuhusiwi...

Sio kila kosa ni la kutoa Red Card...Pepe hajampiga kichwa Muller, amemzonga akitishia kumpiga kichwa kosa ambalo angepewa yellow card tu...
Na Muller baada ya kuzongwa amejiangusha as if amepigwa kichwa kweli..

Ladha ya game imepotea...

Hivi tunaangalia the same game?
 
Uwezo wa Germany ndo huu...anaua tempo yako yote ss unacheza mpira wake anakugonga taratiiiiiiiiiib
 
PEPE.png

The same old Pepe
 
Jamani teamportugal mbona mmekimbia? Njooni bana mmalizie dakika zenu
 
Unajua ili Ghana iwe katika hali nzuri inabidi Ujerumani ashinde tuu hii game ili Ghana igombanie hiy nafasi moja.
Tatizo timu zetu za Afrika nazo hazitabiriki, wanaweza baadaye wakapoteza mechi au wakadroo pasipo kutarajia.

Yaani mkuu unategemea matokeo ya timu nyingine ndio yatubebe? Wacheze washinde na marekani hakuna kingine.
 
Back
Top Bottom