Wajerumani wanabebwa sioni mpira wowote wanacheza, wa.se.nge.
Mkuu Ruttashobolwa,Mkuu Ritz leo Nani ana jitahidi.
Wajerumani wanabebwa sioni mpira wowote wanacheza, wa.se.nge.
Chifu...
Kuna kitu unamiss hapa...
Hakuna sehemu nimefurahia alichokifanya Pepe..
Pitia upya video ya tukio zima utaona kwamba ni kweli Pepe alifanya kosa..Lakini halikustahili straight Red card...Angempa yellow tu ingetosha...
Muller kafanya usanii baada ya kuguswa na Pepe na Refa akaingia mkenge...
BTW..Haya ni mawazo/mtazamo wangu tu Chifu...Unaweza ukayapotezea tu kama unaona hayana mashiko....
Tuendelee kutazama mtanange Chifu...