Tanzania kushiriki kombe la dunia mpaka tuwe wemyeji wa shindano hili
Ha ha ha haaah.....!!Nigeria uzi wao upo poa tatizo kwenye rangi unaweza kufikiri ni ndugu zetu wa green network aka ccm!
Unatazama mpira wapi?Aaaaagh...Iran wamewakosa kosa hawa Boko haram.....
Mpira kali
ball possession
ira 70% nga 30%
ball possession
ira 70% nga 30%
Hawa wanaijeria mbona wanawachelewesha hawa jamaa?
weka picha.....
Hawa wanaijeria mbona wanawachelewesha hawa jamaa?
Wewe kuna mpira unaouangalia sio huu.
Mipango yao sijui vipi hawa wanaijeriaUmaliziaji vipi hapa the Eagles!!!!!!
Maajabu haya mtani, nahisi kuna mtu amehack account yako hapa. Leo unashabikia timu ya Afrika? tunaweza fungwa bana kwaajili yako, baki Iran tu.