World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Nigeria wameanza kuonyesha ujinga wa mpira wa kiafrika.
Yani wanazingua kishenzi. Yani mpaka sasa wanacheza bampingi tu. Yani mpaka hawa wehu wanawatoa kijasho cha m. K. u. n. d. u.!
 
BqRmn_FIUAAkMKC.jpg
 
Breaking News!

Huenda wachezaji wa Nigeria wakagoma kurudi kipindi cha pili endapo hawatapewa uhakika wa kulipwa posho zao wanazoidai serikali ya NIGERIA........Stay turned....

Kuna majadiliano yanaendelea baina ya wachezaji na viongozi wa timu pamoja na wawakilishi wa serikali.....

Wenu #TeamIran
 
Nigeria ni kama wanakamilisha ratiba sio kutafuta ushindi.
 
Breaking News!

Huenda wachezaji wa Nigeria wakagoma kurudi kipindi cha pili endapo hawatapewa uhakika wa kulipwa posho zao wanazoidai serikali ya NIGERIA........Stay turned....

Kuna majadiliano yanaendelea baina ya wachezaji na viongozi wa timu pamoja na wawakilishi wa serikali.....

Wenu #TeamIran


Hahahaa na wasirudi iran watacheza peke yao
 
Bora nilale kidogo, nisubili gem ya Mmatumbi & Mnyamwezi. Hawa Nigeria wananirushia tu.
 
Back
Top Bottom