Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Ndo najiuliza kulikoni kuleta siasa hadi kwenye football....
Ya kwanza mechi gani?Hii ni hattrick ya pili tangu kumbe la dunia lianzishwe - fact
Kasoma mapema sana, kaona bora ajiunge tu na mtani wake. Maana moyo wake mpaka sasa umebaki nusu toka aanze kushabikia hizo timu zake.
Nigeria walianza vizuri ila sasa wanashindwa kujipanga
Source....!!!Facts: Kwa wale wasiojua, Nigeria ndio timu pekee ya Afrika inayoongoza kwa kukatisha tamaa mashabiki wake!.....
Yani wanazingua kishenzi. Yani mpaka sasa wanacheza bampingi tu. Yani mpaka hawa wehu wanawatoa kijasho cha m. K. u. n. d. u.!Nigeria wameanza kuonyesha ujinga wa mpira wa kiafrika.
Thanks mkuu ngoja nijiunge huko
Nilijua mpaka sasa nigeria watakuwa wanaongoza kwa goli nyingi tu, kumbe watu wenyewe hawana mipango.
Nigeria watajutia hzo nafasi wanazo chezea ngoja warukeruke huku ktk timu za africa wao ndo wpo kundi lenye uhafadhali
Source....!!!
Breaking News!
Huenda wachezaji wa Nigeria wakagoma kurudi kipindi cha pili endapo hawatapewa uhakika wa kulipwa posho zao wanazoidai serikali ya NIGERIA........Stay turned....
Kuna majadiliano yanaendelea baina ya wachezaji na viongozi wa timu pamoja na wawakilishi wa serikali.....
Wenu #TeamIran