World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

E-Eh my Bladaz come on Ghana hawa watoto wa Abeid Pele wanahitaji baba ayo aje na mkanda awaamshe kidogo ah! Wapunguze kula Okra!
 
Wamarekani wote wamerudi nyuma, Ghana wanaharibu sana kwenye pass za mwisho wanamuhitaji mtu kama Boateng akacheze no10., halafu Essien na Badu wakakamate ile kiungo
Nilivyoona hawana namna yeyote ile isipokuwa koforce kusogea kwenye box. Sababu cross zote sio wazuri. Na marekani wanazirudisha vizuri. Nimoana jaribio la Asamoah na hili la mwisho at least yameonyesha kuwa kwa kuingia kwenye box wanaweza funga ila cross watakesha
 
Ninaimani ns Ghana najua wanaoweza kututoa kimasomaso.
Tusikate tamaa, Hata spain alianza kushinda mwishoni ikawa Tano moja.
 
bado haitakuwa poa kwao kwani mbele hamna kitu..

Gyan hana mtu wa kumlisha pale, ila huyo pekee ni hatari than the entire USA's forward line.
Toa J.Ayew ingiza Boateng
Toa Muntari ingiza Badu
 
Ghana wakipoteza hii mechi watakua wamejitoa rasmi mana hizo zilizobaki ni ngumu kuchomoka
 
Mi nafikiri angalau hata Misri ingefuzu, kidogo ingeleta changamoto safari hii. Sasa tegemeo letu ni Ivory Coast hao wengine ni sindikiza tu.
 
Na yule dogo mwenye jezi namba 4 kuna hatari ya kutolewa kwa kadi nyekundu. na vile anavyocheza cheza faulo zisizo na masingi ndo kabisa.
 
:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:

Ubaki huko huko!ukirudi huku tunakukamatia airport kwa kosa la utovu wa maadili ya ushabiki wa soka wa kizalendo kwa mutu nyeusi teh teh k!cc Kitoabu
 
Last edited by a moderator:
Nadhani umeona sasa how they dont score where they should..

sioni HOW GHANA WILL SCORE....pass pass and pass again thn pass...hawawezi kufunga...aingie KEVIN PRINCE BOATENG apige long range shots kuwachanganya hawa USA....sasa hivi Ghana wana awapiga chenga tu na useless extra passes na crosses
 
Mi nafikiri angalau hata Misri ingefuzu, kidogo ingeleta changamoto safari hii. Sasa tegemeo letu ni Ivory Coast hao wengine ni sindikiza tu.

Usikate tamaa Ghana anashinda vizuri tu.
 
Ghana inatatizo kubwa katikati, Asamo Gyan na ayu mdogo.

Pale mbele hasa upande wa kulia kwao jamaa anabutua tu wala hajui malengo yake.

Prince Boateng anaweza kubadili mchezo huu kabisa, na kusahihisha makosa ya pass za hovyo kwa ghana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…