World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

10489907_902168533132328_8462328616185900763_n.jpg



10389293_902168543132327_594179082150500664_n.jpg



10462623_902168463132335_6299031418309040075_n.jpg



10363986_902168469799001_595747586421502930_n.jpg



10376174_902168479799000_4958320103222659156_n.jpg



10489899_902168476465667_70719404065119914_n.jpg



10403373_902168486465666_1550049958982162339_n.jpg



10354946_902168456465669_4350132347295385323_n.jpg



10456091_902080969807751_6073748121311736173_n.jpg
 
Kuna timu ni muhimu ziendelee kuwep kenye mwshindano hadi mwisho ili kuongeza ladha ya michuano....Mf Brazil
 
Nasema hivi. brazil kwa mpira huu wasahau kuhusu kuchukua ubingwa.
So far hakuna foward kama RVP na Roben.
 
Ramirez ana damu ya kibongo kabisa
Huyu jamaa ni mbongo kabisa,alikuwa anachezea farudume ya manzese,anaitwa ramadhani lakini kitaa manzese alikuwa anajulikana kama rama lazi kutokana na ukichwa ngumu wake watu wakasema ana radhi ya mama yake ndio maana akaitwa ramalazi lakini kazamia brazil huko anaitwa ramirez
 
Ingawa Brazil watashinda hii mechi na kuwa timu ya kwanza kuingia last 16, hainipi tumaini la kuchukua hili kombe. Kulingana na baadhi ya timu tulizoziona hadi sasa, Brazil ni nyepesi mwaka huu!
 
Nasema hivi. brazil kwa mpira huu wasahau kuhusu kuchukua ubingwa.
So far hakuna foward kama RVP na Roben.

Brazil hamtoi team yyt ya Ulaya Magharibi,hata hawa Spain wanao geuzwa mboga na Holland anamfunga Brazil comfortably!Brazil hii ni aibu kabisa na hata mechi ya kwanza ni refa tu aliwapa points 3!!

Nakuhakikishia Brazil huyu akutane na Croatia labda nusu fainali na Manduhuzic ndani ni aibu kubwa itawapata
 
Back
Top Bottom