World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Ingawa Brazil watashinda hii mechi na kuwa timu ya kwanza kuingia last 16, hainipi tumaini la kuchukua hili kombe. Kulingana na baadhi ya timu tulizoziona hadi sasa, Brazil ni nyepesi mwaka huu!
Hawashindi hii mechi kabisa, wanapigwa.
 
Rooney akilalamika

BqW28J9IIAAODfX.png
 
Ingawa Brazil watashinda hii mechi na kuwa timu ya kwanza kuingia last 16, hainipi tumaini la kuchukua hili kombe. Kulingana na baadhi ya timu tulizoziona hadi sasa, Brazil ni nyepesi mwaka huu!

Na Brazil asipoangalia hii mechi ataambulia droo au atapigwa kamoja.
 
Brazil hamtoi team yyt ya Ulaya Magharibi,hata hawa Spain wanao geuzwa mboga na Holland anamfunga Brazil comfortably!Brazil hii ni aibu kabisa na hata mechi ya kwanza ni refa tu aliwapa points 3!!

Nakuhakikishia Brazil huyu akutane na Croatia labda nusu fainali na Manduhuzic ndani ni aibu kubwa itawapata
Brazil hamna kitu kabisa.
 
Brazil akikutana na Holland au Germany anageuka Portugal
 
Back
Top Bottom