Kama Scolari hata fanya sub ya Ramirez basi refa atamsaidia kwa red kadi
sijakuelewa,,,,Itabid scolari afanye hicho k2 fast ht kbl mamb hyjw mby
Watu hamuishi vituko, haya tena nani huyu?
kha,,,,,,,kumbe nywele zake kama farasi
Huyu jamaa ni mbongo kabisa,alikuwa anachezea farudume ya manzese,anaitwa ramadhani lakini kitaa manzese alikuwa anajulikana kama rama lazi kutokana na ukichwa ngumu wake watu wakasema ana radhi ya mama yake ndio maana akaitwa ramalazi lakini kazamia brazil huko anaitwa ramirezRamirez ana damu ya kibongo kabisa
Brazil hakuna kitu kabisa, na sioni ladha yoyote itakayopotea kwa wao kutolewa mapema.Kuna timu ni muhimu ziendelee kuwep kenye mwshindano hadi mwisho ili kuongeza ladha ya michuano....Mf Brazil
Huyo ni Bi ney anaona aibu!
Nasema hivi. brazil kwa mpira huu wasahau kuhusu kuchukua ubingwa.
So far hakuna foward kama RVP na Roben.