World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Nimepak mapema, dk ya 13 0-0

Australia wanajitutumua na vifaul vya hapa na pale wamekaza kwelikweli.
Hongera aisee, ww timu gani? Mi sina timu hapa ila napenda ashinde Holland.
 
Australia wananipa shinikizo la damu aise

ha ha ha aah,,,,,,,,tatizo wanaweza wakalegea baadae hawa australia, lakini wakikaza wataleta kilio kwenu. Lakini usihofu first aid kit ipo na madakatari wapo.........
 
Roben anakosakosa kunyosha mkwaju hapa mpira umekua mwingi
 
Tayari kazi imeshaanza

Kumbe itakuwa ilikuwa ni nguvu ya soda
 
Roben keshaanza kupeleka kilio huko Australia,kama kawaida anafungisha tela kijiji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…