everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,027
Hongera aisee, ww timu gani? Mi sina timu hapa ila napenda ashinde Holland.Nimepak mapema, dk ya 13 0-0
Australia wanajitutumua na vifaul vya hapa na pale wamekaza kwelikweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera aisee, ww timu gani? Mi sina timu hapa ila napenda ashinde Holland.Nimepak mapema, dk ya 13 0-0
Australia wanajitutumua na vifaul vya hapa na pale wamekaza kwelikweli.
Australia wananipa shinikizo la damu aise
Waholanzi wameshikwa.
Australia ni nguvu ya soda au? kama wakikomaa hivi mpaka mwisho tunaweza kuona matokeo ya ajabu leo