World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Huyu kocha wa Spain simuelewi kwa kweli,aliyetakiwa awe dropped ni Ramos na Diego Costa sio Pique na Xavi
 
Kipa wetu Bravo kam kaumia mkono vile ila dua zote kwake isiwe serious sana ili amalize gemu
 
Mi kwa utabiri wangu, kwa jinsi nilivyoona timu zote...uholanzi kombe ni la kwao safari hii..!
Unabisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…