World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Mexico wanacheza kitimu lakini ndugu zetu Cameroon wanatumia uzoefu binafsi tuu na ndio maana kipindi cha kwanza kimeisha bila kufungwa.
Nashangazwa na makosa ya kipuuzi wanayofanya Cameroon. yaani kama ya Taifa stars.
 
Mexico wanacheza kitimu lakini ndugu zetu Cameroon wanatumia uzoefu binafsi tuu na ndio maana kipindi cha kwanza kimeisha bila kufungwa.
Nashangazwa na makosa ya kipuuzi wanayofanya Cameroon. yaani kama ya Taifa stars.

c'meroon walikua zamani siku hizi hawana kitu kabisa wamekua jamvi la wageni.
 
huwajui brazil..wewe... Hivi Olic alitolewa au?
Asiewajua the Selecaos kwenye ulimwengu wa soka ni nani?
Brazil jana walikuwa very average na unless wa-improve, otherwise wakiendelea kucheza kama jana basi round of 16 itakuwa ndio mwisho wao
 
Cameroon imebakia jina tu. Ingekuwa ngozi nyeusi ndiyo tumenyimwa hayo magoli kilio chakeeeeee weeeeeeeeeeee! Tungelia ubaguzi ubaguzi leleee leeeee rangi nyeusi sijui ya bluuuu.
 
Asiewajua the Selecaos kwenye ulimwengu wa soka ni nani?
Brazil jana walikuwa very average na unless wa-improve, otherwise wakiendelea kucheza kama jana basi round of 16 itakuwa ndio mwisho wao

Kuna siku hapa hapa jamvini nita kukumbusha haya maneno yako....achana na brazil wewe..
 
Cameroon imebakia jina tu. Ingekuwa ngozi nyeusi ndiyo tumenyimwa hayo magoli kilio chakeeeeee weeeeeeeeeeee! Tungelia ubaguzi ubaguzi leleee leeeee rangi nyeusi sijui ya bluuuu.

wapo juu ndiyo maaana wapo huko. hizo timu unazoona zinacheza vizuri ziko wapi?
 
Mbona goalkeeper wa cameron akipiga mpira washabiki wa mexico wanazomea? Hii siyo racist? Kuna harufu ya ubaguzi hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…