World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Chile wakishinda itakuwa upset number 2 baada ya Costa Rica kuwagonga Uruguay.
 
Nawaonea huruma watu hawa
1. Diego Cost ameikana Brazil afu anaishi hatu hii naitakuwa bila goli
2. Shakira amekana kuishangilia Colombia kisa pique akidhani watabeba ndoo
3. Mwafrika anayeishabikia Spain kila siku maumivu
#teamChile
 
Reactions: EMT
Wanachofanya Chile ni kuzuia na kufunga tuu. baasi.
kila wakiingia ndani ya 18 kazi yao ni kufunga tuu.
Tofauti na Spain.

Mpira wa Spain si sawa na Barca, hauna Plan B

Wangekutana na Muller wangeshakula 5 sasa
 
Nani kakosa goli nasikia watu wanazomea?

Kwani wewe uko wapi? Mwambie shemeji yetu akuachie uje uangalie Mpira! Unafikri sisi hatutaki kuwa na wifi zako sasa hivi? Kama hakuachii usituulize?!! Ha ha ha ha ha! Spain ndo wamekosa jamaa kapigiwa pasi ya tiktak akatoa sentimita chache!
 
France walibeba kombe 1998,walikuwa watetezi 2002 mechi ya kwanza walipigwa na Senegal.hawakuvuka round ya kwanza

Yes, walifungwa na Senegal mechi ya kwanza, waka-draw na Uruguay mechi ya pili kabla ya kufungwa na Denmark mechi ya mwisho.

So, it was the last group game not the second game which sealed France's fate.

Ni tofauti kama Spain wakifungwa leo ambapo ni mechi ya pili.
 
Wakifungwa ndo watakuwa wamevuliwa ubingwa rasmi au sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…