World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Van Gaal proud of Netherlands despite 'careless' win
 
ile midfield ya Spain iliyokuwa inasifika duniani kote ipo wapi? tangia nianze kuangalia hii mechi dakika ya 52 naona kama vile Chile wana control midfield, sijui wenzangu mlioanza kuungalia tangu mwanzo mnaonaje?
 
Nnavyosoma hizi post inaonesha mnaoangalia live mnafaidi sana, Asante sana tanesco kwa kutunyima uhondo.

Bado waheshimiwa wa tanesco hawajarudisha umeme?

Yeah hapa tunashuhudia bingwa mtetezi Oops aliyekuwa bingwa mtetezi akitolewa kwa kufungwa na Chile
 
Nnavyosoma hizi post inaonesha mnaoangalia live mnafaidi sana, Asante sana tanesco kwa kutunyima uhondo.
Mkuu Active unakosa uhondo.
Spain wana cheza kama Mtibwa Sugar na Cassilas ana daka kama Kipa wa Ruvu shooting!
 
Last edited by a moderator:
pole mkuu si ungeenda hata pub kuangalia huko? Au unaogopa mbwa mwitu mtaani kwako?

Huku hakuma mbwa mwitu wala panya road, ni mwendo wa bastola na AK47.
 
ile midfield ya Spain iliyokuwa inasifika duniani kote ipo wapi? tangia nianze kuangalia hii mechi dakika ya 52 naona kama vile Chile wana control midfield, sijui wenzangu mlioanza kuungalia tangu mwanzo mnaonaje?
Tokea euro cup 2008,imechoka,inabidi waunde team mpya
 
Carzola? Bora asingefanya sub. Atakimbiakimbia tuuuu kama Willian bila malengo, anao anao anao kwa saaanaaa na huku hana madhara.
This is an act of desperation for Del Bosque
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…