Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
huyu nae sijui kaweka mzigoView attachment 165764
hahahaahaah.......hawa ndio wanajinyongaga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu nae sijui kaweka mzigoView attachment 165764
Na wakija kufungwa na Australia ndo itakuwa kichekesho,acha wafungwe waliota mapembe mnoYes, walifungwa na Senegal mechi ya kwanza, waka-draw na Uruguay mechi ya pili kabla ya kufungwa na Denmark mechi ya mwisho.
So, it was the last group game not the second game which sealed France's fate.
Ni tofauti kama Spain wakifungwa leo ambapo ni mechi ya pili.
Tokea euro cup 2008,imechoka,inabidi waunde team mpya
Holland kushinda
Casillas kufungwa
Germany na Holland
Draw waitoe wapi?
Wapige cha tatu tukalale sasa
Kwani Australia hawana damu?Kwa Australia
I'm not leaving my settee until Torres scores #WorldCup2014Spain wakitolea, itabidi wachezaji wote wapelekwe katika "running with bulls" event. Ni mimi au Ramos anastahili kuwa na kadi mbili za njano hadi sasa?
Dah naona huruma kwa Spain, hawakutegemea wala kutarajia haya waliyoyapata. Safari hii haikuwa bahati yao.
Hii chile mnayoishabikia, ingawa inaweza kuvuka hii hatua ya awali (kama wakishinda mechi hii) lakini mechi yake na uholanzi mtaigeuka......Nisimuone mtu kujiita TeamNetherland.
eti wanasema "every generation has a life span" kwa spain.