Mwaka huu wataalam au mafundi niwengi.
Zaidi nimwaka ambao magoli yanafungika sana
Hivyo sio rahisi kiasi hicho.
bado akina mesi, vanmagoli, roben, nk wanakuja kwa speed ya kutisha mkuu
Hivi umemuona Ruttashobolwa na my wii Bantu lady ...mi nimepitwa na mechi ya saa Moja.but am now ready to kill the night... The Boss babe come closer the match is about to start.
#teamCameroon kila la heri, ngoja nilale nitakuta matokeo baadae.
Mtani tuandae kabisa maana ni fedheha.Mtani Ruttashobolwa naomba tuandae party ya kuwaaga Spain please.
Sio Mbaya ila Ukweli ni kuwa Spain imeizidi kimchezo Chile katika nyanja zote. Kufunga ilikuwa bahati tu na sio kiwango cha mchezo.
Nawahakikishia Chile haitaenda popote
Hii chile mnayoishabikia, ingawa inaweza kuvuka hii hatua ya awali (kama wakishinda mechi hii) lakini mechi yake na uholanzi mtaigeuka......Nisimuone mtu kujiita TeamNetherland.
Visingizio vya ki'Taifa stars hivi.Sio Mbaya ila Ukweli ni kuwa Spain imeizidi kimchezo Chile katika nyanja zote. Kufunga ilikuwa bahati tu na sio kiwango cha mchezo.
Nawahakikishia Chile haitaenda popote
Sio Mbaya ila Ukweli ni kuwa Spain imeizidi kimchezo Chile katika nyanja zote. Kufunga ilikuwa bahati tu na sio kiwango cha mchezo.
Nawahakikishia Chile haitaenda popote
Walikuwa hapa mtaani wanazunguka tu