Nimefurahi sana..kuna watu tulibishana sana hapa..tukasema kama watachezesha alonso, bisquets, xavi, casilias..watotoka mapema.. Hao watu wamechoka..wanawaacha vijana kama koke, isco, mata, cazola, munian, pedro..wamestick na watu waliochoka..bado england kwa kunangania wakina gerad, roonie na lampard
