World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kwahiyo hali ya hewa imewaathiri Spai peke yake? Basi tufanye hivi, hali hiyo hiyo ya hewa imewathiri pia Kameruni, Ghana, Algeria, na Uingereza, Japan, n.k.
Hahahahaha Duh!!!!Yaishe ndugu tuelekeze macho na masikio kwa Ivory coast
 
huyu mchezaji ya ivory anamzuka na wimbo wa taifa mpaka machozi yanatoka na kushangiliwa na uwanja mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…