World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Huyu Webb anapendelea wazi wazi Colombia.
 
Hivi Tanzania hata refa hatujawahi toa kwa mashindano haya ya kombe la dunia au mashindano yoyote ya kimataifa?

C.c MEANDU.
 
Last edited by a moderator:
Ivory Coast inatakiwa ianze kumtafuta Yaya mwingine maana sidhani kama atakuwepo 2018 Urusi
 
Yani wachezaj wote wa ivorycoast wangekua wanacheza kwa jihad kama jamaa alie lia wangekua mbali
 
Hivi Tanzania hata refa hatujawahi toa kwa mashindano haya ya kombe la dunia au mashindano yoyote ya kimataifa?

C.c MEANDU.

Mkuu hatuna refa wala linesman anayeweza kazi hii!Wote ni wababaishaji tu!Niliwahi enda halftime kule kwenye vyumba vyoa mechi moja ya Yanga na Azam nikakuta marefa wanakula ubwabwa!

Kwenye michezo Tanzania hatupo serious kutoka kwenye utawala hadi wachezaji
 
Mhhh Africa hatuwezi kabisa kaunta ataki!!Mungu katubariki hapa

Tatizo hatuna speed hatuwezi kucheza mpira wa pace kubwa, Kaunta ataki lazima uwe na speed. Kila siku wabongo tunapiga vita mpira wenye speed, Utasikia wabongo tunasema eti mpira sio mbio mpira sio nguvu. Tunachojua mtu mpira ni ule wa anao anao na chenga nyingi kama Ronaldinho, tunashindwa kuelewa kuwa tunatakiwa tuwe na sifa zote hizo(speed, nguvu, na kumiliki mpira). Afadhali Waafrika wa Kiarabu ukiangalia wao wanajua haya mambo kuliko sisi weusi.
 
Back
Top Bottom