leonardo da vinc
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 1,108
- 732
Hahaaaa yaani ukitazama dokumeee itasomeka ana miaka 22
Hivi Tanzania hata refa hatujawahi toa kwa mashindano haya ya kombe la dunia au mashindano yoyote ya kimataifa?
C.c MEANDU.
Drogba na Kalou wakiingia Colombia wanakufa.
Belgium defender Jan Vertonghen suggested that Manchester United did not utilise his teammate Marouanne Fellaini correctly last season
Hahaaaa yaani ukitazama dokumeee itasomeka ana miaka 22
Ingekuwa mashindano ya viduku au bongo fleva hapo tungekuwa nao kibao mkuu,
Sisi tumewekeza kwenye muziki na ulevi tu ,ni Bar na viduku tu
Ameeeen.
Mashabik hao