World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Hawa costa rica wanaonekana kuwa na mipango zaidi kuliko azzuri. Dk kama tano wamepiga mashuti kama matatu na gigi buffon akaokoa. Azuri tumeelemewa.

#teamitalia
 
Jamani Costa Rica wamejipanga vizuri pamoja na kunyimwa Penalty
 
Hawa south americans ni hatari,hili kombe litavuka kweli Bahari ya Atlantic?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…