World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Mkuu acha tu..leo utafkiri tulikuwa pungufu uwanjani..tulikuwa slow sana halfu zaidi ya PIRLO Pale kati palikosa ubunifu kabisa...
Beki yetu ilicheza Ovyo nafkiri tulitakiwa tupigwe zaidi ya 1...
Uruguay Sidhani kama watatufunga

aisee tuache kujipa moyo. Uruguay wana game spirit ya ajabu. Italy watacheza kwa pressure wakiogopa kuwa kama spain na england. Hii ni moja kati ya game gumu kabisa. Timu itakayoshinda itakuwa imejiongezea kujiamini na amin watafika mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…