World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13


Hahahahahahaaaa nimecheka wee Pazi hebu acha fujo. Jana nilisema saa ngapi, kiukweli siku ilipocheza na Ecuador nilikuwa Uswiss.
Haya basi nimeumia ufurahi, ila wewe pole sana maana una majanga kama mtani wangu Ruttashobolwa kila timu anayoshabikia inakuwa nehii.
 
Last edited by a moderator:
Naona umeshadandia lift ya Peugeot 505. Land rover 110 limekufa nini? Hivi Land rover Defender liliitwa ki michezo(soka) nini?

Kuna timu moja SIPENDI {Ninamaanisha SIPENDI KABISA} iwe bingwa kwenye mashindano haya, kwahiyo sitaki timu vibonde ziingie hatua za mbele huko, zisije kuipa sifa hiyo timu.

*Hiyo timu kwa sasa siitaji naangalia upepo unavyovuma kwanza*

Hata sijui kwanini hilo gari liliitwa defender
 
Mtani ulikuwa france?

Hapana mtani, sikuwa na timu ya kuishabikia ila nimeona moyo unauma sana, Swiss walivyofungwa na nimemuonea huruma sana kocha wao amezidi kuzeeka ghafla. Watamuua kwa msongo wa mawazo, kwani mtani Ruttashobolwa ulikuwa wapi Swiss?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hii picha ya 31/1/12

Mkuumambo ya digitali camera huyajui......?hii ni ya tarehe ya leo 20/06/2014....camera tu haikuwa updated na nashukuru itaqly kutaka kuniharibia siku yangu lkn nashukuru hsyo Makreti yananiokoa mpk ss.....
 
America Kusini anaingiza teams zake zote round yab2!Ecuador anapita kundi hili kuchukua nafasi ya Swiss!
 
Karibuni Uswazi tucheki game
Bantu lady Kama kuandikia Chalk huwezi waachie wenzako wewe type tu hehehehe Grele hehehehe unaweza kucheka ukavunjika ULIMI wakakuwekea piopio ya ulimi mitandao Ina mambo only in TAnganyika duh.
 
Yaani ninaisubiri kwa hamu sana sana....... gemu ya Italy Vs Uruguay......

kama una bet weka ushindi kwa Uruguay 3-0. Suarez(1), Cavani(2) Jinsi ilivyo mwaka huu lazima wa-ulaya wafungashe mwanzoni.
 
Spain na England siku hiyo wanacheza na mabegi yao kwenye bench!Team iliyoniuma kuaga ni hawa wafuga Kangaroo
 
Mimi sikupendelea hawa uswiswi wafungwe 6 kwa sababu sikuhitaji record ya spain ivunjwe na timu yoyote
 
Hahahahaaa bado hujanielewa eeh rubaman ni hivi, mimi mwili wangu na roho yangu yote ni #teamBrazil #
Hizi timu zingine nashabikia kimkopo tu.
Wewe rubaman subiri mtu akipiga goli mwanzo akaona wapi Kunauhai Utasikia Bantu lady yeye timu gani anachunguza speed ya game ngoja timu ipige 2-0 wawe na speed atasema timu yake mara dk 88 iwe 2-1 dk 90 2-2 na 90+ ziwe 3-2 tuone ile alioirukia 3-2 mapema inakuwaje? Hehehe wengine tuna fanya Fujo timu zetu tunaenda kuzipokea Airport week hii zishatoka.
 
Bantu lady Kama kuandikia Chalk huwezi waachie wenzako wewe type tu hehehehe Grele hehehehe unaweza kucheka ukavunjika ULIMI wakakuwekea piopio ya ulimi mitandao Ina mambo only in TAnganyika duh.

Hahahahhahahaaa ni shidah, Kaniprint na kunitangazaaa kabisa. Hela ya tangazo nakutumia sasa hivi, mwenzako sikupitia kuandika ubaoni ndio najifunza Pazi sasa mbona unaniumbua hadharani? haaa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…