World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Huu ndio mpira tunaopaswa kutazama kwa kiwango cha kombe la dunia. Sio wale wabeba vyuma waliopita.
 
Hili goli alilofunga Van Persie linanikumbusha magoli yangu niliyokuwa ninafunga School Pazi
 
Last edited by a moderator:
Izo mbegu za kiume tutoe sisi au wao?

WAO, ili zipandikizwe kwa mademu zetu, sababu zetu zimeshindwa hata U champion wa Africa. VP umeona Goli zr la la V. Persie mkuu? Tuanze na huyu, then Ronadinho, Ronaldo Mazario Dillima, Messi, Zidane, Bechkam, Gabriel Batistuta, Pele, Maradona, C. Ronaldoh, na Golikipa anafaa Oliver Khan.
 
. kuna Player anaitwa DonDonald na Rubaman au Ntuzu Hiyo nafasi wao wangetaka kutuliza kifuwani wangetuliza kifuwani hawa niliwataja mpira ungefika mikononi mwa kipa taratibu bad touch hehehehe ila Mie hapo ningepiga mkasi mpira nyavuni( I Wish) na Dream hehehehe.
 


mpaka wabebwe
 
Siwezi kushabikia goli ya kudanganya, costa amemuhadaa refa na mashabiki pia.

Huu udwanzi wa kudanganya ulifanya Sures akadaka na Ghana ikatolewa iliniudhi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…