World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Huu ndio mpira tunaopaswa kutazama kwa kiwango cha kombe la dunia. Sio wale wabeba vyuma waliopita.
 
Hili goli alilofunga Van Persie linanikumbusha magoli yangu niliyokuwa ninafunga School Pazi
 
Last edited by a moderator:
Izo mbegu za kiume tutoe sisi au wao?

WAO, ili zipandikizwe kwa mademu zetu, sababu zetu zimeshindwa hata U champion wa Africa. VP umeona Goli zr la la V. Persie mkuu? Tuanze na huyu, then Ronadinho, Ronaldo Mazario Dillima, Messi, Zidane, Bechkam, Gabriel Batistuta, Pele, Maradona, C. Ronaldoh, na Golikipa anafaa Oliver Khan.
 
_75520857_mmftbwcespnedrvpheader.png
. kuna Player anaitwa DonDonald na Rubaman au Ntuzu Hiyo nafasi wao wangetaka kutuliza kifuwani wangetuliza kifuwani hawa niliwataja mpira ungefika mikononi mwa kipa taratibu bad touch hehehehe ila Mie hapo ningepiga mkasi mpira nyavuni( I Wish) na Dream hehehehe.
 
waache wabrasil waitwe wabrasil..mimi n shabiki wa brasil na nmeanza kuifuatilia spirit ya ile timu kwa kipind kirefu kidogo..kwa mechi ya jana dhidi ya crotia,brazil ilicheza mpira wa kawaida sana..Ila kama ww ni mfuatiliaj wa sambaboyz hawa jamaa wanacheza mpira kutokana na timu wanayokutana nayo!!!scolar na paleirra n makocha wazoefu sana na wenye akili nying kimpira..sidhan kama mechi na Mexico watacheza mpira kama wa jana kwa kua kuna kasoro za kiufund nmeliona kwa mchezaji paulinho ambalo naamin limeigharim brasil Kwenye mech ya jana..endapo wataanza watu kama fernandinho na willian katika 1st eleven na kumpuzisha paulinho na hulk aisee tutegemee kuiona Brazil ktk sura nyingine...UTABIRI wangu hata Brazil asipokuwa bingwa naamin kombe alirud ULAYA tena!!!!tuonane mechi ijayo ya brasil dhid ya Mexico


mpaka wabebwe
 
Siwezi kushabikia goli ya kudanganya, costa amemuhadaa refa na mashabiki pia.

Huu udwanzi wa kudanganya ulifanya Sures akadaka na Ghana ikatolewa iliniudhi sana.
 
Back
Top Bottom