World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kwa wale mliowahi kucheza mpira uwanjani jamani hebu jiwekeni katika nafasi ya Van Persie,mtihani wa kwanza ni kuvunja ile offside trick,wa pili ni timing ya ile cross,yaani kukimbia na kufika eneo sahihi mpira ulipoangukia,tena kwa speed kubwa kuwahi mpira na kumwahi golkeeper asikutangulie kuufikia,halafu Cassilas akiwa kajaa mbele yako,unagonga looping header ya aina ile!na haya yote yanakuwa processed haraka kichwani na kucoordinate response ya mwili.hivi mnalitafakari hili goli kama mie?kuna watu wanajua.credit to Van Persie aisee.hili goli ni hatari.

Aisee hata mimi nimeliangalia lile goli kwa mtazamo tofauti. sometimes hadi nashawishika kuona RVP kama anatumia uchawi flani vilee!!
 
Kwa wale mliowahi kucheza mpira uwanjani jamani hebu jiwekeni katika nafasi ya Van Persie,mtihani wa kwanza ni kuvunja ile offside trick,wa pili ni timing ya ile cross,yaani kukimbia na kufika eneo sahihi mpira ulipoangukia,tena kwa speed kubwa kuwahi mpira na kumwahi golkeeper asikutangulie kuufikia,halafu Cassilas akiwa kajaa mbele yako,unagonga looping header ya aina ile!na haya yote yanakuwa processed haraka kichwani na kucoordinate response ya mwili.hivi mnalitafakari hili goli kama mie?kuna watu wanajua.credit to Van Persie aisee.hili goli ni hatari.

Mkuu naelewa sana, ngazi zote wakati nasoma nilikuwa goalkeeper, RVP hilo goal katumia akili sana kufunga.
 
Holland wananipa raha jamani.
 
Lile goli ametumia akili ya kiuchezaji na pia hakuwa na papara. Wachezaji wengi hapa duniani katika nafasi ile ile kama ya VP wasingefunga lile goli Netherlands 2 Spain 1


Kwa wale mliowahi kucheza mpira uwanjani jamani hebu jiwekeni katika nafasi ya Van Persie,mtihani wa kwanza ni kuvunja ile offside trick,wa pili ni timing ya ile cross,yaani kukimbia na kufika eneo sahihi mpira ulipoangukia,tena kwa speed kubwa kuwahi mpira na kumwahi golkeeper asikutangulie kuufikia,halafu Cassilas akiwa kajaa mbele yako,unagonga looping header ya aina ile!na haya yote yanakuwa processed haraka kichwani na kucoordinate response ya mwili.hivi mnalitafakari hili goli kama mie?kuna watu wanajua.credit to Van Persie aisee.hili goli ni hatari.
 
La pili arjen robben,,,,,,,,,hawa spain wameanza kuniudhi sasa,,,,,,,,nahamia kuwashangilia holland sasa.
 
Safi sana Kibabu kijana Robben ungekuwa Mwafrica wangesema Una miaka 40yrs old bado mawili.
 
The unthinkable is happening!Robben makes it 2-1 for Holland
 
Mitaa ya Amsterdam, Rotterdam sasa itakuwa haishikiki kwa shamra shamra
 
Hahahahaaah,,,,,,,,,niwape pole spain in advance.
 
Back
Top Bottom