Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,955
- 4,656
Kwa wale mliowahi kucheza mpira uwanjani jamani hebu jiwekeni katika nafasi ya Van Persie,mtihani wa kwanza ni kuvunja ile offside trick,wa pili ni timing ya ile cross,yaani kukimbia na kufika eneo sahihi mpira ulipoangukia,tena kwa speed kubwa kuwahi mpira na kumwahi golkeeper asikutangulie kuufikia,halafu Cassilas akiwa kajaa mbele yako,unagonga looping header ya aina ile!na haya yote yanakuwa processed haraka kichwani na kucoordinate response ya mwili.hivi mnalitafakari hili goli kama mie?kuna watu wanajua.credit to Van Persie aisee.hili goli ni hatari.
Aisee hata mimi nimeliangalia lile goli kwa mtazamo tofauti. sometimes hadi nashawishika kuona RVP kama anatumia uchawi flani vilee!!