Yes indeed! Iwapo hali itaendelea hivi, hii itakuwa rekodi mpya kwa Algeria.. Mwaka 1986, waliambulia pointi 1 hali kadhalika mwaka 2010 waliambulia pointi 1Leo matokeo yatakuwa kinyume na hayo!
ni waafrika lakini wale ni waarabu mkuu, wanajua kutumia nafasi vizuri.Algeria leo wamefanya kitu ambacho team za Afrika mara nyingi zinakosa kutotumia chance vizuri