World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Algeria wameua mawasiliano ya pasi za wakorea kati kati,na hivyo kuwafanya wasicheze kwa tempo ya juu waliyozoea,hili limeiua kabisa Korea katika dk takriban 25 za mwisho za kipindi cha kwanza.ngoja tuone Korea watakujaje kipindi cha pili.
 
kila mnyonge ana mnyonge wake

Mkorea hana mpira wa kutisha acha tu Algeria atutoe kimaso maso nasi japo tulinde heshima na tufarijike ila angekutana na wa-Mexico au Honduras saiz tungekuwa tunaongea vingine.
 
Inabidi kuwe na sheria katika timu 5 timu za Afrika 2 lazima ziwa za Waarabu hawa jamaa at least wako serious sisi ngozi nyeusi hatuko serious kabisa
Hapana, mwamuzi ni dakika tisini uwanjani; hizo nafasi za upendeleo hazipo kwenye soka, zipo tu kwa wabunge wa viti maalum Tanzania. Kama kuna watu huwaoni Brazil, mfano taifa letu, ni kwamba walikuwa wasindikizaji tu...timu zetu tano zilizopo huko zinawakilisha bara la Afrika si waarabu! Wakifanya vizuri, nafasi zitaongezeka msimu ujao.
 
Hongera Algeria....Ila mm toka ile siku ya kwanza nilijitoa kushabikia timu za Africa..
 
Back
Top Bottom