World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Ngoja wakutane na Chile tuone .. leo karibu magoli yote waameachiwa na Cameroon + moja la kuotea
 
Brazili v/s chile upande wa pili Holland v/s mexico tusubiri kesho tuone group c na d itakuwaje!
 
It is official now, Brasil vs. Chile and Mexico vs. Holland in the 2nd round.

Hii itakuwa bonge la game,ila Chile waje kivingine siyo kama leo,Mexico na Holland itakuwa tamu hiyooo!,si ya kukosa!!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kipa kama anadaka balale...


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Impossible is nothing. Jinsi haya mashindano yalivyo mwaka huu sitoshangaa wote wakiyaaga, mkuu.

Haswaaaa, hasa hawa Brazil wana hatihati sana, match yao Vs Croatia maamuzi ya refa yaliwasaidia sana, leo wamekutana na wanywa viroba mixer ugoro wa Cameroon wameshinda kiulaini, wamepata mtihani mmoja tu mpaka sasa Vs Mexico
Wajiangalie sana kwa Chile, na hivi team nzima inamtegemea Naima labla FIFA wawapige jeki kama kwenye game 1
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahahaa inawezekana maana kaanza kwa kusema ni 106 halafu akasema ni 107.
Poa mkuu

Eurosport.com
Brazil put on a polished display at the Estadio Nacional in their 100th World Cup performance to beat Cameroon 3-1 and top Group A.

Neymar knocked in the 100th goal of this exciting World Cup to deservedly put Brazil ahead but Joel Matip silenced the crowd with a well taken equaliser before the half hour.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Namsikiliza mchambuzi wa UBC (Uganda) anasema mpaka sasa zimefika 107 goals. Sijui wewe na yeye nani yupo sahihi.

Wachambuzi wengine vimeo mkuu...angalia kama wale wa TBC mfano. Goli ni 108 coz Neymar alifunga la 100 afu after that Cameroon akasawazisha then Brazil akaongeza mengine 3 hapo tayari 104!

Mechi ya Mexico na Croatia imezalisha magoli 4 coz final score 3-1 hapo ukijumlisha unapata 108!
 
Brazil kikwazo ni paulinho na hulk..akianza fernandinho badala ya pau game itakua nzur sana...na tukienda kwenye match records chile kafungwa mara nying na Brazil..xo tusubir mtanangee
 
nashindwa kuelewa wabongo wanaolalamika na kuwasimanga Cameroon kwa kugoma na kudai haki yao ya posho. Inaelekea Wabongo tumeshazowea kudhulumiwa na tunaona ni kawaida na sehemu moja ya maisha yetu. Heko kwa wachezaji wa Cameroon na wapopo wengine mfano Togo, na Nigeria waliowahi kugoma hadi wapate haki yao. Ikumbukwe kila nchi inayoshiriki katika Kombe la Dunia, Kombe la Mataifa Afrika, UCL,Europa League inapewa posho inayotakiwa kwenda kwa Wachezaji na mastaff wengine. Sasa haki isipotendeka, lazima watu wachukuwe measures zinazostahili. AMEN!!!!
 
Portugal VS USA was the most watched real football/soccer game in US' history. It was watched by 25 million people, more than 50% of Tanzania's population.
 
Hizi mechi zote ni ngumu itakuwa patashika nguo kuchanika maana katika mechi hizo ni lazima mshindi apatikane hakuna kulaza zege. Pamoja na hayo bado nawapa nafasi kubwa Waholanzi na Wabrazil kusonga mbele lakini kama tujuavyo soka chochote kinaweza kutokea.

Hii itakuwa bonge la game,ila Chile waje kivingine siyo kama leo,Mexico na Holland itakuwa tamu hiyooo!,si ya kukosa!!!
 
nashindwa kuelewa wabongo wanaolalamika na kuwasimanga Cameroon kwa kugoma na kudai haki yao ya posho. Inaelekea Wabongo tumeshazowea kudhulumiwa na tunaona ni kawaida na sehemu moja ya maisha yetu. Heko kwa wachezaji wa Cameroon na wapopo wengine mfano Togo, na Nigeria waliowahi kugoma hadi wapate haki yao. Ikumbukwe kila nchi inayoshiriki katika Kombe la Dunia, Kombe la Mataifa Afrika, UCL,Europa League inapewa posho inayotakiwa kwenda kwa Wachezaji na mastaff wengine. Sasa haki isipotendeka, lazima watu wachukuwe measures zinazostahili. AMEN!!!!
Umeongea sahihi kabisa..!! Haki yao lazima wapate suala la kushinda/ kushindwa ni matokeo tu maana lazima awepo wa mwisho.
 
Back
Top Bottom