Wazee wa kubet mashindano haya hawajielewi....:flame::flame:
alipigwa kipepsi naye kafanya vitu vyake
Wamefungwa...!! Au bila bila.England nao wameshindwa kuifunga 2nd tier Costa Rica team
FIFA wanaweza kumuacha wale maana hawaeleweki
Wamefungwa...!! Au bila bila.
England nao wameshindwa kuifunga 2nd tier Costa Rica team
Nimesikitika sana hawa jamaa kutoka......Wale mabruda wapo kweli humu...kazi kwelikweli, maana hadi Papa ameshawakana hawa mamafia wa Sicilia!
Me ni mshabiki mkubwa wa Suarez ever wasipo mfungia napata mashaka nao FIFA