World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

daaaah hii world cup ya mwaka huu kazi sana..yaani pirlo na midevu yake kama yesu anaenda kuwa mtazamaji?
 

Kawape hi mafia wenzako waliokuwa excommunicated...
 
Km GHANA wakipita basi ndio Mabingwa wapya wakombe la Dunia...sijaona timu inayokiputa km hiyo wengine wote wanaamka na bahati za mababu zao..
 
Suarez ndiyo ishakuwa habari Uingereza..magazeti hayataipa uzito habari ya timu yao kurudi nyumbani..dadeki..

Headlines hizo kutoka magazeti ya UK:

1. Oops! He has done it again!!

2. Suarez's vampire bite send Uruguay to the last 16.

3. Inexplicable act by the Uruguay's talisman.

4. Suarez: "I love a sweaty and tangy shoulder mash with pudding".
 
Km GHANA wakipita basi ndio Mabingwa wapya wakombe la Dunia...sijaona timu inayokiputa km hiyo wengine wote wanaamka na bahati za mababu zao..

Ghana mabingwa wa world cup? Najitoa JF ikitokea hivyo.......!!
 
Prandeli alifanya makosa kuwaacha kina Rossi au Toni.Ile game ya Costa Rica ilikuwa ya kushinda

Prandelli aende sasa, hilo la washambuliaji nililisema kipindi katangaza kikosi chake.
Ukiacha na hao mbinu zake za kufundisha zimekua dhaifu sana, unaweza jiuliza hata England tuliwafungaje, tumecheza chini ya kiwango kupita maelezo, hata baada ya kufungwa huoni uharaka wowote wa wachezaji kufika golini, wachezaji wenye kasi wamekaa bench au wameachwa nyumbani, hatupigi mashuti yaani ni disaster
#PrandeliOUT
 

daily mail uk...
[h=2]JAWS III: Suarez in ANOTHER BITE STORM (that's three now!) as he appears to take a chunk out of defeated Italian defender Chiellini. Uruguay through, but will he be kicked out of World Cup?[/h]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…