World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kuna namna hawa watu wanafanya. Hii ni hujuma kwa kweli, hii ni mbinu ya kuziondoa timu tishio.

kwa kiasi nakubaliana ila kwa upande mwingine ni uzembe tu. ikiwa unatafuta sare huwezi kubaki unacheza mpira kwenye eneo lako hata siku moja. jaribu kufanya mashambulizi hata kama hayana mpango wowote.
 
Argentina piga hao matapeli warudi kutafuta watoto waliotekwa na boko haram.
 
To celebrate his birthday yesterday, here are the Addidas boots Messi will be wearing tonight

 
Argentina have lost just three of the last 20 games they've played at the World Cup (W13 D4 L3)
 
Hapa Tujitaidi tupate sare, Huyu Mess asitutishe. #Team Africa mpaka dakika ya mwisho japo inauma.
 
Hawa tbc mbana mpira hauna sauti au ni mimi peke yangu wakuu!!
 
#TeamAfrica Leo itakuwa ni mara ya nne kwa Nigeria kukutana na Argentina katika World Cup. Katika mara zote hizo Argentina ameweza kushinda mara tatu na Nigeria mara moja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…