mbona una hasira sana? kwani zidane alimpompiga kichwa materazi alifungiwa miezi mingapi?
wav wa ban mmeanza
duh roho yangu itatoka
Hahahaha acha janja yako, mwezi ushaisha huu na unataka ufunguliwe mwezi wa 7 ili uje uchangie mechi za fainali eeeh!!
Ghana wanashinda leo, jiweke kwenye mazingira ya ban or new id.
Hahahaha acha janja yako, mwezi ushaisha huu na unataka ufunguliwe mwezi wa 7 ili uje uchangie mechi za fainali eeeh!!
Ghana wanashinda leo, jiweke kwenye mazingira ya ban or new id.
duh roho yangu itatoka
Team portugal.
Sishabikii any african team kwenye hii wc.
Team portugal.
Sishabikii any african team kwenye hii wc.
Team portugal.
Sishabikii any african team kwenye hii wc.
Jamani huu mpira mkali sana ghana vs portugal